Jinsi ya kutibu athari za punyeto kwa wanaume
Uvunaji wa Asali
Shadow

Jinsi ya Kutibu Athari za Punyeto kwa Wanaume

Jinsi ya kutibu athari za punyeto au kujichua kwa wanaume huweza kutofautiana kutokana na kiwango cha madhara yaliyosababishwa na tendo hilo, zipo njia nyingi za kukabiliana na suala hili. Katika ukurasa huu tutaangalia athari zitokanazo na kufanya punyeto, pamoja na dawa anazoweza kutumia mwanaume aliyeathiriwa na masturbation (punyeto), kuponya upungufu wa nguvu za kiume.

Punde tutakueleza masuala muhimu kuhusu punyeto, kama vile madhara ya punyeto, njia za kuacha kufanya punyeto na jinsi ya kutibu athari za punyeto kwa wanaume.

MADHARA YA PUNYETO

UUME KULEGEA

Misuli ya uume hulegea na kushindwa kudinda kwa muda mrefu, kama tatizo lisipotibiwa mapema hali huzidi kuwa mbaya.

KUKOSA HAMU

Mwanaume hukosa kabisa hamu ya kushiriki tendo la ndoa, kwa kuhofia kufedheheka na kupata aibu kitandani.

KUWAHI KUPIGA BAO

Muda mfupi baada ya uume kuingia ukeni na kuhisi joto la uke, mwanaume hutokwa na manii na kazi huishia hapo.

MSONGO WA MAWAZO

Kiwango cha msongamano wa mawazo huzidi, mwathirika hujilaumu na kuwa na hali ya kukata tamaa kujaribu kushiriki tendo la ndoa. 

URAIBU

Ikiwa kufanya punyeto inakuwa tabia ya mara kwa mara, huathiri mfumo maisha yako ya kila siku, na kuona siku haiendi vizuri hadi ufanye punyeto.

MIGOGORO

Huweza kusababisha migororo katika ndoa kwa mwanaume kushindwa kumtosheleza mwenza wake, hii pia huweza kupelekea usaliti.

HUBORESHA NGUVU ZA KIUME

ASALI YA BABA

Asali ya BABA ni maalum kabisa kwa wanaume wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na wale ambao hawana tatizo ila wanahitaji kuboresha ufanisi wao katika tendo la ndoa. Imarisha nguvu zako za kiume leo kwa kutumia asali asilia. Lishe yako, nguvu yako.

Hutibu Uume Uliolegea

Uume kuwa legelege na kuchomoka hovyo wakati wa tendo la ndoa, huweza kutibiwa kwa ASALI YA BABA kwa kusaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye uume.

Huongeza Uume

Sababu kuu ya uume kuongezeka ni kuimarika misuli ya uume, uume uliosinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo huweza kurejea katika hali yake ya awali.

Hutibu Kuwahi Kufika Kileleni

Kama unatumia muda mchache kitandani (chini ya dakika 7), basi ASALI YA BABA itakufaa kukabiliana na tatizo hilo linalotia huzuni pindi uwapo na mkeo.

Hutibu Madhara ya Punyeto

Husaidia kukunjua mishipa na misuli ya uume iliyosinyaa na kufanya kuume kuwa kama umedidimia kwa ndani.

Huongeza Hamu ya Mapenzi

Homoni ya Testosterone ndiyo inayojishughulisha na kuongeza hamu ya kufanya mapenzi, matumizi ya ASALI YA BABA husababisha kuongezeka kwa homoni hiyo muhimu kwa wanaume.

MATUMIZI YA ASALI YA BABA

Lamba kijiko kikubwa kimoja (10 ml) mara mbili kwa siku. Kwa muda wa siku 21, mabadiliko unaweza kuanza kuyaona baada ya siku 7. Dozi kamili ni ASALI YA BABA lita moja

DOZI KAMILI = TSH 75,000
NUSU = 38,000

Kwanini Utumie ASALI YA BABA?

HAINA KEMIKALI

Imeandaliwa kwa mimea ya asili ikiwamo asali ya nyuki wadogo, karoti pori nyeupe, tangawizi, mdalasini na pilipili manga. Haijaongezwa kemikali yoyote

NI TIBA YA KUDUMU

Hii siyo booster, ni tiba ya kumaliza kabisa tatizo, mabadiliko unaweza kuyaona ndani ya wiki ya kwanza hadi ya pili , na hutibu kwa dozi moja tu. 

HUPATIKANA KWA WEPESI

Tuna mawakala katika mikoa ifuatayo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Zanzibar, Kagera n.k Pia tunatuma hadi nje ya nchi.

CHUKUA HATUA SASA

Jinsi ya Kuacha Kufanya Punyeto

TAMBUA SABABU

Anza kwa kujitambua na kuelewa ni kwanini unataka kuacha tabia ya kujichua. Je, ni kwa sababu za kiafya, kimaadili, au kuboresha uhusiano wako? Hii itakusaidia kudumisha motisha na lengo lako.

WEKA MALENGO

Weka malengo madogo na ya kufikika. Kuanza na malengo madogo kunaweza kukupa mafanikio madogo ambayo yanaweza kujenga imani na kujiamini. Kamwe usiweke malengo ambayo haiwezekani kuyafikia.

PANGA MPANGO

Fanya mabadiliko kwenye mazingira yako ili kuzuia mazingira yanayoweza kuchochea tabia ya kupiga punyeto. Kwa mfano, epuka kutumia muda mwingi ukiwa peke yako au katika mazingira ya siri, acha tutazama picha za uchi.

JISHUGHULISHE

Tafuta shughuli mbadala na za kujenga, kama kushiriki michezo, kujifunza kitu kipya, au kushiriki katika shughuli za kijamii. Hii itakusaidia kutumia muda wako kwa njia inayochangia maendeleo yako binafsi.

KULA CHAKULA BORA

Jitahidi kudumisha afya yako kwa kula vyakula bora kwenye kuboresha nguvu za kiume kama vile asali, tangawizi, parachichi n.k, pia kwa kufanya mazoezi mara kwa mara, na kupata usingizi wa kutosha.

KUJIDHIBITI

Jifunze kufuatilia hisia na mawazo yako. Kuelewa ni nini kinakusukuma kuelekea tabia hiyo ya kufanya masterbation. Hii inaweza kukusaidia kubaini mbinu bora za kujidhibiti.

TAFUTA WASHIRIKA

Kuwa na marafiki au watu wanaokuelewa na kushirikiana nao kuhusu safari yako inaweza kusaidia. Kujua kwamba hauko pekee kunaweza kuimarisha azma yako.

KUWA NA SUBIRA

Jitunze na kuwa mpole kwako mwenyewe. Kushindwa kunaweza kutokea, lakini ni muhimu kuendelea kujitahidi kuacha. Subira ni muhimu kwa mchakato huu wa kujikwamua.

MSAADA YA KISAIKOLOJIA

Ikiwa unakabiliwa na changamoto kubwa, fikiria kuwasiliana na mtaalamu wa afya ya akili au mshauri. Wanaweza kutoa mwongozo wa kina na kutoa msaada wa kisaikolojia.

Refractory Period

Kushindwa Kurudia Tendo la Ndoa Haraka

Refractory period ni kipindi cha muda baada ya mwanaume kufikia kilele cha msisimko wa kimapenzi na kutokea kwa kilele (kumwaga manii/ejaculation). Katika kipindi hiki, mwanaume mara nyingi hana uwezo wa kufikia kilele kingine au kushiriki tendo la ngono tena kwa muda fulani. Kwa kawaida, refractory period inaweza kutofautiana kati ya mtu mmoja hadi mwingine, wapo wanaotumia dakika chache hadi hamu kujirudia na wapo wanaotumia muda mrefu kiasi, na wengine hawawezi kabisa kurudia tendo ndani ya siku hiyo.
 
Wakati wa refractory period, mwili unapumzika na kurejesha nguvu zake baada ya kilele. Hii inahusisha kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi na uwezo wa uume kusimama vizuri. Kipindi hiki ni sehemu ya kawaida ya mzunguko wa kufanya mapenzi kwa mwanaume.
 
Muda wa refractory period unaweza kutofautiana kwa kiasi kikubwa kati ya watu. Mambo kama umri, afya, mazoezi na hali ya kisaikolojia yanaweza kuathiri urefu wa refractory. Wasiliana nasi kujifunza bure, namna bora ya kupunguza urefu wa muda (refractory period) ili uwahi kurejea mchezoni mapema.

MATUMIZI YA RAWZA HONEY

Asali bora kwa matumizi yako

Sababu na dalili za upungufu wa nguvu za kiume

NGUVU ZA KIUME

Jifunze kuhusu sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, madhara yatokanayona na upungufu wa nguvu za kiume na jinsi ya kutibu tatizo hilo kwa kutumia dawa mbalimbali za asali na vyakula muhimu kwa wanaume. 

Vyakula muhimu kuongeza nguvu za kiume kwa haraka

VYAKULA VYA WANAUME

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume kwa haraka hujumuisha vyakula vyenye virutubisho vifuatavyo kwa wingi, madini ya Zinki (zinc), Vitamini D, Omega 3 fatty acids, Vitamini C, vitamini E,  Selenium, L-Arginine, Folate (Asidi ya Folic), Vitamin B-Complex, Citrulline n.k

Namna ya kutibu tatizo la kuwahi kufika kileleni.

KUWAHI KUFIKA KILELENI

Jinsi ya kutibu tatizo la kuwahi kufika kileleni wakati wa kufanya mapenzi huweza kutofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Kama unatumia dakika chini ya tatu (3) kwa bao la kwanza, na unashindwa kurudia tendo la ndoa fuata maelekezo haya. 

Bofya Kitufe Kuwasiliana Nasi

Scroll to Top